Saturday, 13 August 2016

SEHEMU TANO (5) ZA KUMPAGAWISHA MWANAMKE

SEHEMU TANO (5) ZA KUMPAGAWISHA MWANAMKE

Imekuwa mazoea kwa wanaume kujituma kwenye mahaba kuliko wanawake hali ambayo akija akimpata mtoto wa Kileo ndo utasikia kibuti kinahusika lakini usijihisi Unyonge wakati Mwalimu nipo kwa ajili yako, leo hii utapata kufahamu sehemu tano za kumshika mwenza wako ukiwa nae kwenye sita kwa sita.

Shingo: Hii ni sehemu nyeti sana, na ina raha isiyo na kifani haswa pale utapo mgusa taratibu ukitumia ulimi huku ukihema kwa mahaba ili umpe joto la kumsisimua hadi pale atapofika kwenye uwanja wa raha na kukutengenezea mazingira ya kufikishana kileleni mkiwa pamoja na sio kiyatima.

Masikio:Hakuna asiyejua raha ya kunong’onezwa kwa mahaba, jamani ni raha kwa kweli, hapa mwanamke inabidi uwe mshambuliaji hatari ili kumfanya ahame Dunia hii na kumpeleka huko panapomfanya maji aite mma dada wewe.Tumia kwa ulimi na meno kwa kumdatisha zaid lakini usimng’ate hata ni mchezo tu ili kuwezesha kukamilisha lengo.

Makalio: Sio kitu cha kushangaza jamani, na wanaume pia hupenda kushika hapo haswa pale imkiwa kwenye sita kwa sita,kwani ni sehemu ambayo inahisia kali zaidi ya nyingine lakini wadada ndo mnapokosea pointi hapo kwani manaipita na wengine kuionea aibu lakini hapo ndo habari ya mjini.

Ngozi: Hahaha, kumpapasa mwenza wako kimahaba kunaongeza msukumo wa damu, kwahiyo pale utapomshika kwa mikono laini huku ukimpapasa kwa ulimi inamuongezea hisia sana kwenye mapenzi.

Nyayo:sehemu hii pia huwa inasahulika sana lakini lakini kwa taarifa yako, ukiwa unamfanyia masagi mwenza wako utamfanya akupe vya uvuguni mwanadada.

Usipende kufanyiwa kama hupendi kumfanyia mwenza wako utachofanyiwa kwani mahahba.blogspot.com inakwambia kuwa ujanja ndo silaha hata babu hatakutuma silaha nyingine na juhudi binafsi zinahitajika.

No comments:

Post a Comment